JE WAJUA KUWA KUNA
MIPANGO MBALIMBALI INAYOFANYWA NA WAHUSIKA ILI KUPOTOSHA UMMA?
*Je kuna binadamu anayeweza
kuwa na sifa ya UTUME bila idhini yake ALLAH (Mwenyezi Mungu)????
*Je kuna mwanadamu anayeweza
kufanya kazi za kiutume (kuwa nabii) kwa kufundishwa na mtu/ watu?
*J e nani awezaye kuwa MTUME au
Nabii na hakupata nguvu hiyo kwa MWENYEZI MUNGU???
Sasa kuna mpango ambao
ulianzishwa na watu wenye tama zao ili kuakikisha mwanadamu anapotea juu ya
kumpwekesha ALLAH (Mwenyezi Mungu”
Mpango huo ni pamoja na kitengo kilichoanzishwa kwa wanaume wa thehebu flani hapa duniani ili
wao ndio wawe mitume wa Thehebu hilo” Je yaweza kuwa kweli huo Utume wao ni
kutokana na Mwenyezi Mungu?? Je wanaume hao wanaofundishwa na wanadamu wenzao
“Je wanaweza kuwa mitume wa kweli?? Au ndio wale Mitue wa Uongo?????
Mpango huo ulioanzishwa ulipewa
jina la UTUME WA WANAUME yaani (UNUM-OMNES)
Kiufupi Utume huu ni utume wa naume
wote wa thehebu la Katoliki unaojulikana
kwa jina la
“UNUM OMNES” madhumuni na majukumu ya Utume huu kwa wanaume
wa Kikatoliki ni kujitolea juu ya makanisa yao hapa Duniani. Pia uwahusisha
watu wote wenye umri kuanzia miaka 18 jinsia ya kiume tu. Kwa kuwa Utume huu
unawahusu wanaume wote Wakatoriki hivyo kila walipo wanaume wakatoriki wana haki
ya kuunda umoja wao, Iwe ngazi ya Juuiya ndogo ndogo za Kikiristo , Kigango na
Parokia juu ya Utume huu ambao sio Utume wa kutoa kwa Mwenyezi Mungu bali ni
utume wa wanadamu ulioundwa ili watakao upokea waachane na mafundisho ya Mitume
wa Mwenyezi Mungu na badala yake washikamane na mafundisho ya Utume utokao kwa
wanadamu. Je kwa hali hiyo kuna Utume wa kweli????
MADHUMUNI YA UTUME HUU WA
WANADAMU
*Kuwaunganisha wanaume wakatoriki wote ambao
wana nia, moyo wa kulitumikia kanisa ili waweze kufanya kazi hiyoya Kuutangaza
Utume wa uongo kwa waumini wa makanisa.
*Kuifadhi , Kuimarisha imani ya Kikatoriki
iliyo sawa na imani ya Kipagani ya Mungu katika utatu na pia kuendeleza
mafundisho hayo ya Kiutume yatokanayo na wanadamu.
*Kuakikisha
muumini anashikamana na amri zitokanazo na mwanadamu na wala sio Mwenyezi Mungu
katika shughuli zake zote za kiroho na
kimwili.
*Kushirikiana na
vyama vingine vya Kitume na mashirika mengine ya Kikatoriki yaliyopo kila kona
ya nchi na bara husika.
CHANZO/ HISTORIA
YA UTUME HUU WA UONGO UNAOFANYWA NA
WANADAMU NA KUTOKANA NA WANADAMU WALA SIO MWENYEZI MUNGU HAPA DUNIANI.
Utume huu wa wanadamu uliojaa
mafundisho yanayowapinga Mitume na Manabii wa Mwenyezi Mungu ulianzishwa mwaka 890 Hata hivyo Utume huo wa
uongo haukuwa na nguvu sana kutokana na
kuwepo kwa Dola ya kiislam hivyo wengi walikuwa wameshikamana na haki.
Uliendelea kufahamika kwa uchache kwa kipindi kirefu sana. kisha ulikuja kukua
na kufufuliwa mwaka 1922 huko Ulaya
Barani Australia hadi mwaka 1947
wakati huo Wakatoriki waliungana kufanya jubilee ya miaka 25 na kufanya mkutano maalumu
ulioudhuliwa na wajumbe mbalimbali hapa duniani ili katika mkutano huo
washauliane kuunda kamati maalumu ya
kuandaa katiba rasmi mwaka 1948 kamati hiyo ilianza kuishughulikia katiba mnamo
tarehe 15 hadi 17 August 1950.
Baraza kuu la kwanza la
kimataifa la Wanaume Katoliki (International Conci of Catholic Men) lilikuatana
huko Vatican “Roma” makao maalumu ya Kiongozi wanaomuita Baba mtakatifu
. Wakati huo Baba mtakatifu PAPA PIO WA XII
aliidhinisha Utume huu wa uongo na kuupa jina la “UNUM
OMNE” Papa Pio wa xii aliteua utume huu uwe na makao makuu yake Vatikan”
Roma” na Utume huu ndiyo chama pekee cha Kitume chenye Makao makuu yake
Vatican.
Baadaye Utume huu ulianza
kuenezwa sehemu nyingi ulimwenguni hasa Ulaya, Hivyo ilionekana umuhimu wa
kueneza Utume huu katika sehemu nyingine na Africa ikiwa mojawapo. Hivyo umeenezwa mataifa yote ,
majimbo yote , Parokia zote za Kikatoliki.
KWA UPANDE WA
TANZANIA
Mwaka 1985 Utume huu ulianzishwa
kwa mara ya kwanza katika Jimbo la keko huko Dar es salaam 1986 mwezi Septemba
, Utume ulianzishwa katika jimbo kuu la Dar es salaam , Jitihada zilikuwa
zikiendelea kufanyika ili kueneza utume katika majimbo mengine ya Tanzania hadi
wanaume wote Wakatoliki watakapohusika kikamiifu na utume wao.
Utume huu umeenea kwa kasi
katika majimbo ya Dar es salaam ,
Kahama, Tanga, Dodoma, Morogoro , Arusha, Kagera , Same, Mwanza, Tabora,
Shinyanga na Songea . Hivyo kwa mwenye akili timamu ajiulize huu ni utume
unaotokana Mwenyezi Mungu??
Je kama ni utume unaoundwa na
wanadamu huo sio utume wa Uongo???
0 comments:
Post a Comment