Bibi kizee zaidi duniani afariki dunia akiwa na umri wa miaka 117

Bibi mmoja nchini Italia aitwaye Emma Morano amefariki dunia huko Italia  alizaliwa tarehe 29 mwezi Novemba mwaka 1899 eneo la Piedmont nchini Italia. Ndiye mtu wa misho aliyezaliwa miaka ya 1800 ambaye bado alikuwa hai na kuna mambo mengi aliyokuwa anahusika nayo kwenye dayosisi ya kanisa la Catholic" Ingiwa zipo sababu zilizo tolewa na wanafamilia kuwa bibi huyu kufikisha miaka hiyo 117 imatokana na bibi huyu kula mayai sana"" Nadhani hiyo ni kauli ya fumbo maana haimanishi ,mtu akila mayai sana ataishi sana bali ni MWENYEZI MUNGU mwenye kuyajua haya yote yanayofichwa na yanayo wekwa hadhalani.
#Binadamu kuishi umri mrefu ni mapenzi ya MWENYEZI MUNGU wala sio chakula wala, kinywaji.
Share on Google Plus

About DAIMA ANGAZA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

1 comments:

  1. Bibi mmoja nchini Italia aitwaye Emma Morano amfariki dunia huko Italia alizaliwa tarehe 29 mwezi Novemba mwaka 1899 eneo la Piedmont nchini Italia. Ndiye mtu wa misho aliyezaliwa miaka ya 1800 ambaye bado alikuwa hai na kuna mambo mengi aliyokuwa anahusika nayo kwenye dayosisi ya kanisa la Cathoric" Ingiwa sipo sababu zilizo tolewa na wanafamilia kuwa bibi huyu kufikisha miaka hiyo 117 imatokana na bibi huyu kula mayai sana"" Nadhani hiyo ni kauli ya fumbo maana haimanishi ,mtu akila mayai sana hataishi sana bali ni MWENYEZI MUNGU mwenye kuyajua haya yote yanayofichwa na yanayo wekwa hadhalani.
    #Binadamu kuishi umri mrefu ni mapenzi ya MWENYEZI MUNGU wala sio chakula wala, kinywaji.

    ReplyDelete