RAIS MAGUFULI AMUUA KUVUNJA UKIMYA.

#Breaking News  23/05/2017
Hii ni taarifa iliyotufikia hivi punde ikidai kuwa Waziri wa Nishati na madini Sospeter Muhongo ameachishwa kazi na Mh. John Pombe Magufuri…..Kwa taarifa kama hizi inaonyesha kuwa uwazi uenda ukaibua mambo yaliyokuwa  gizani…………….
Inauma sana pale inapofikia hatua ya viongozi wa ngazi za juu kukumbwa na tuuma zinazo wapelekea kuondolewa madalakani’ Ingawa inakuwa njia ya kumuumiza muhusika lakini pia inakuwa njia ya kumfurahisha muhusika (yaani mnyanyashwaji)
*Ukiachilia suala la viongozi wa ngazi za juu kuondolewa madarakani #Daima Angaza imefanya uchunguzi na kubaini kuwa kumekuwepo na uozo mkubwa uliokuwa unafichwa na viongozi wa ngazi mbalimbali hasa ngazi za juu maana wao waliyafumbia macho masuala ya ubadhilifu ambao unatuathiri sana sisi wananchi wa hari ya chini.
Ukweli ni kwamba haya masuala ya kutimuliwa watu kazi ni masuala yanayo ibua mijadala mikubwa vichwani mwa watu lakini ndivyo ilivyo maana hakuna baya lisilo na zuri lake.


Share on Google Plus

About DAIMA ANGAZA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment